Kuna siku nilikua napita nikaenda nunua kuku mnafu na chips nikale home. Nimeingia kwenye uber ile harufu nikashindwa kuvumilia. Hata tangi bovu sikufika nikamaliza chakula changu
Kuna siku nilikua napita nikaenda nunua kuku mnafu na chips nikale home. Nimeingia kwenye uber ile harufu nikashindwa kuvumilia. Hata tangi bovu sikufika nikamaliza chakula changu
Ndiyo naona hii Comment Hazard CFC
Toka ile siku umeniweka kwenye ule uzi wako na kuniahidi kunionesha mguu wa mgeni hadi leo hujaweka!!! Nasubiri picha yako.