Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,508 Reaction score 203,233 Oct 2, 2019 #6,801 Mpaka dk hii sijaona Mwenye dimpoz, jamani tuwekeeni basi tuyafurahishe machoo 🔥🔥 Mzigua90 Saint anne kapeace wekeni dimpoz hizo
Mpaka dk hii sijaona Mwenye dimpoz, jamani tuwekeeni basi tuyafurahishe machoo 🔥🔥 Mzigua90 Saint anne kapeace wekeni dimpoz hizo
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Oct 2, 2019 #6,802 Depal said: Anapita kwenye Likes tuuuuu Demiss usitufanyie hivyo mamilooo plz njooo Click to expand... Kwa id hiyo hiyo au nyingine?
Depal said: Anapita kwenye Likes tuuuuu Demiss usitufanyie hivyo mamilooo plz njooo Click to expand... Kwa id hiyo hiyo au nyingine?
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,508 Reaction score 203,233 Oct 2, 2019 #6,803 Karma said: Kwa id hiyo hiyo au nyingine? Click to expand... Hiyo hiyo
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Oct 2, 2019 #6,804 mshipa said: Kwanini? Click to expand... Sasa kama asubuhi yako ni nzuri si ulitakiwa unijibu kwanza tununu halafu ndiyo ungemalizia na ndagha??
mshipa said: Kwanini? Click to expand... Sasa kama asubuhi yako ni nzuri si ulitakiwa unijibu kwanza tununu halafu ndiyo ungemalizia na ndagha??
baraka bb JF-Expert Member Joined Mar 20, 2016 Posts 2,690 Reaction score 3,901 Oct 2, 2019 #6,805 Jamaan me nashauri tuweke utaratibu wa kupost picha kwa jinsia yaan leo jumatano tunataka wapost wadada tu
Jamaan me nashauri tuweke utaratibu wa kupost picha kwa jinsia yaan leo jumatano tunataka wapost wadada tu
mshipa JF-Expert Member Joined Jun 16, 2015 Posts 12,354 Reaction score 23,084 Oct 2, 2019 #6,806 Karma said: Sasa kama asubuhi yako ni nzuri si ulitakiwa unijibu kwanza tununu halafu ndiyo ungemalizia na ndagha?? Click to expand... Haha mi ni mvamizi tu unafikiri najua basi kinyaki
Karma said: Sasa kama asubuhi yako ni nzuri si ulitakiwa unijibu kwanza tununu halafu ndiyo ungemalizia na ndagha?? Click to expand... Haha mi ni mvamizi tu unafikiri najua basi kinyaki
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Oct 2, 2019 #6,807 mshipa said: Haha mi ni mvamizi tu unafikiri najua basi kinyaki Click to expand... usijali nilishaligundua hilo
mshipa said: Haha mi ni mvamizi tu unafikiri najua basi kinyaki Click to expand... usijali nilishaligundua hilo
mshipa JF-Expert Member Joined Jun 16, 2015 Posts 12,354 Reaction score 23,084 Oct 2, 2019 #6,808 Karma said: usijali nilishaligundua hilo Click to expand...
Kichaa Msafi JF-Expert Member Joined Dec 26, 2017 Posts 1,090 Reaction score 2,141 Oct 2, 2019 #6,809 Hannah said: Mkuu huko ni mkoa gani udongo mwekundu hivo. Click to expand... Hapana sio Tanzania hapa ni Uganda some where called lubowa
Hannah said: Mkuu huko ni mkoa gani udongo mwekundu hivo. Click to expand... Hapana sio Tanzania hapa ni Uganda some where called lubowa
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,254 Oct 2, 2019 #6,810 Sina hata za kusingizia Depal said: Mpaka dk hii sijaona Mwenye dimpoz, jamani tuwekeeni basi tuyafurahishe machoo Mzigua90 Saint anne kapeace wekeni dimpoz hizo Click to expand... Chibonge mwenzangu ubonge unatosha
Sina hata za kusingizia Depal said: Mpaka dk hii sijaona Mwenye dimpoz, jamani tuwekeeni basi tuyafurahishe machoo Mzigua90 Saint anne kapeace wekeni dimpoz hizo Click to expand... Chibonge mwenzangu ubonge unatosha
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,254 Oct 2, 2019 #6,811 mshipa said: Haha mi ni mvamizi tu unafikiri najua basi kinyaki Click to expand... Karma said: usijali nilishaligundua hilo Click to expand... Utadhani unajua Basi
mshipa said: Haha mi ni mvamizi tu unafikiri najua basi kinyaki Click to expand... Karma said: usijali nilishaligundua hilo Click to expand... Utadhani unajua Basi
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,463 Oct 2, 2019 #6,812 Depal said: Mpaka dk hii sijaona Mwenye dimpoz, jamani tuwekeeni basi tuyafurahishe machoo Mzigua90 Saint anne kapeace wekeni dimpoz hizo Click to expand... Mimi ninazo
Depal said: Mpaka dk hii sijaona Mwenye dimpoz, jamani tuwekeeni basi tuyafurahishe machoo Mzigua90 Saint anne kapeace wekeni dimpoz hizo Click to expand... Mimi ninazo
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,254 Oct 2, 2019 #6,813 Karma said: Unapajua?? Ulipiga mujibu huko nini?? Click to expand... Kuna chibonge wangu alienda huko..kurudi khanga ilikua na rangi ya udongo huo. Na huku tulianza kuzitumia muda sawa,khanga sare. Mimi nilikua 823jkt Kama unaijua
Karma said: Unapajua?? Ulipiga mujibu huko nini?? Click to expand... Kuna chibonge wangu alienda huko..kurudi khanga ilikua na rangi ya udongo huo. Na huku tulianza kuzitumia muda sawa,khanga sare. Mimi nilikua 823jkt Kama unaijua
Mzigua90 JF-Expert Member Joined Sep 23, 2014 Posts 38,391 Reaction score 88,767 Oct 2, 2019 #6,814 Hahahaahaaa.. pole sana Saint anne said: Roho imeniuma Sana Nimekuja kuambulia ya pombe tu Click to expand...
Hahahaahaaa.. pole sana Saint anne said: Roho imeniuma Sana Nimekuja kuambulia ya pombe tu Click to expand...
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,254 Oct 2, 2019 #6,815 Sakayo said: Mimi ninazo Click to expand... Okoa jahazi hapa
Mzigua90 JF-Expert Member Joined Sep 23, 2014 Posts 38,391 Reaction score 88,767 Oct 2, 2019 #6,816 Ngoja nishauriane na halmashauri ya kichwa yangu nione kama itafaa tena Karma said: Tuma tena wewe jamani Click to expand...
Ngoja nishauriane na halmashauri ya kichwa yangu nione kama itafaa tena Karma said: Tuma tena wewe jamani Click to expand...
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,254 Oct 2, 2019 #6,817 Mzigua90 said: Hahahaahaaa.. pole sana Click to expand... Fanya hata kunitumia pm
Al Watani JF-Expert Member Joined Dec 28, 2014 Posts 21,697 Reaction score 32,448 Oct 2, 2019 #6,818 Aisee SweetieLee said: View attachment 1220950 Click to expand...
Makiwendo JF-Expert Member Joined Aug 12, 2015 Posts 10,031 Reaction score 34,667 Oct 2, 2019 #6,819 Naona Huu Uzi unaenda Kasi sana..
Arien JF-Expert Member Joined Aug 29, 2017 Posts 11,245 Reaction score 11,777 Oct 2, 2019 #6,820 Makiseo said: Naona Huu Uzi unaenda Kasi sana..View attachment 1221323 Click to expand... Aisee👀👀👀❤️❤️❤️❤️
Makiseo said: Naona Huu Uzi unaenda Kasi sana..View attachment 1221323 Click to expand... Aisee👀👀👀❤️❤️❤️❤️