Tulia dogo!
Nataka watu waendelee kuniona kauzu washindwe hadi kuja pm kama kipindi kile maana naona kuna watu siku hizi wameanza mazoea mabaya na mimi!
Yah nadhani nimelizoea Sana.
Yaani muda huohuo tu nimebadili nikawa najiona wa ajabu.
Nikasubifi angalau wiki ipite ilinibadili Tena,sikumtafuta Tena melo.
Nikampm mwingine ila akaja nibadilishia Melo, yaani nilijisikia aibu na kuona nimemsumbua.
Hahaha you're right huwa nakaa muda siwatafuti then ndo naomba request , adorabella nilichoka kulitumia nikaja Aurora nikaona mizinguo mingi nikaweka Rory kuna id ya mtu inafanana nayo ikabidi nibadilishe kwenda weyyln hapo kwa wey ndo nikasahau password .
Yah nadhani nimelizoea Sana.
Yaani muda huohuo tu nimebadili nikawa najiona wa ajabu.
Nikasubifi angalau wiki ipite ilinibadili Tena,sikumtafuta Tena melo.
Nikampm mwingine ila akaja nibadilishia Melo, yaani nilijisikia aibu na kuona nimemsumbua.
Na mimi nilibadili Karma sababu sikupenda kuulizwaulizwa kuwa mimi ni me au ke, maana wengi walifikiri mimi ni me.
Sasa natumia Zoë naona usumbufu pm umezidi wakati enzi zile usumbufu ulipungua kwahiyo bora nirudie lile, atakayechanganyikiwa na achanganyikiwe tu ila wengine hatupendi usumbufu wa mara kwa mara pm.