Aahh mwanzoni watu walikuwa wanamwaga picha balaa ilikuwa hamna maneno maneno zaidi ya kusifiana tu. Daah usinikumbushe enzi zile huu uzi bado uko mbichi we used to have fun kwa kweli.
Aahh mwanzoni watu walikuwa wanamwaga picha balaa ilikuwa hamna maneno maneno zaidi ya kusifiana tu. Daah usinikumbushe enzi zile huu uzi bado uko mbichi we used to have fun kwa kweli.
Mie ndiyo maana nimehamia CC tu. MMU huwa naenda mara moja moja sana nikiona labda kuna uzi umechangamka.
Sijui kwanini mie ni ngumu kumjudge mtu kutokana na maandishi yake humu! Halafu wengi wenye tabia ya kujudge watu ndiyo wale waliomuamini hadi yule umomi kuwa kweli ana stress za maisha na aliamua kujiua sababu ya stress kumbe mwenzao anawachezea akili tu hii miandiko yetu humu inawadanganya sana watu!
Mie ndiyo maana nimehamia CC tu. MMU huwa naenda mara moja moja sana nikiona labda kuna uzi umechangamka.
Sijui kwanini mie ni ngumu kumjudge mtu kutokana na maandishi yake humu! Halafu wengi wenye tabia ya kujudge watu ndiyo wale waliomuamini hadi yule umomi kuwa kweli ana stress za maisha na aliamua kujiua sababu ya stress kumbe mwenzao anawachezea akili tu hii miandiko yetu humu inawadanganya sana watu!