Labda kwa vile ule haukuwa uhalisia wangu ndiyo maana ilikuwa ni kwa muda tu nikashindwa kuendelea. Mwanaharakati wa kweli hapumziki wala haachi mie nimeamua kufuata uhalisia wangu tu.
Humu JF ukiwatetea vipofu automatically na wewe umeshawekwa kwenye kundi la vipofu! Watu hawataki kukuelewa wao wanachojua ni kwamba na wewe ni kipofu basi hauna cha kuwaambia!
Humu JF ukiwatetea vipofu automatically na wewe umeshawekwa kwenye kundi la vipofu! Watu hawataki kukuelewa wao wanachojua ni kwamba na wewe ni kipofu basi hauna cha kuwaambia!
Labda kwa vile ule haukuwa uhalisia wangu ndiyo maana ilikuwa ni kwa muda tu nikashindwa kuendelea. Mwanaharakati wa kweli hapumziki wala haachi mie nimeamua kufuata uhalisia wangu tu.