Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahaha mkuu wapo humu! Watu ambao wakikosaga hoja kazi yao ni kuanza kuhusianisha unachoandika humu na tabia zako halisi!

Mimi nilishakaa hadi na wachungaji na wakanidescribe tofauti hivyo hadi kesho siwaamini! Sembuse hao wanasaikolojia!
hao psychologist tuishi nao tuu ivo ivo
 
Labda kwa vile ule haukuwa uhalisia wangu ndiyo maana ilikuwa ni kwa muda tu nikashindwa kuendelea. Mwanaharakati wa kweli hapumziki wala haachi mie nimeamua kufuata uhalisia wangu tu.
Yah
Changamsha genge na bro wetu nyenyere

Mimi nilikuwa naona Kama comedy flani,halafu siku hizi kumepoa kule japo Kuna dada fulani anajitahidi kukuchangamsha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…