Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Duh hvi malimao uliachana nayo!??
Hvi unazingatia ule ushauri wa kupiga misosi!??

Jitahidi uje hapa kwenye 58 to 60 then relax
Kuacha kabisa sitoweza. Ila nilijitahidi kupunguza.

Misosi ya wanga inanishinda siku hizi, nikila wali mchana mpaka jioni nakuwa nimeshiba shiba tu. Kama leo nilikula wali samaki mchana lakini mpaka saa hizi sioni dalili kama nitakula usiku huu... Chips hazichoshi sema kitumbo kitajaa nishindwe kuvaa baadhi ya vi blouse 😅

Maisha ya usingle magumu yanatia uvivu kupika pika, kula restaurant kila mlo ni kujitia umaskini , nasubiri Dec nirudi kwetu nikanenepe 😉
 
Kuacha kabisa sitoweza. Ila nilijitahidi kupunguza.

Misosi ya wanga inanishinda siku hizi, nikila wali mchana mpaka jioni nakuwa nimeshiba shiba tu. Kama leo nilikula wali samaki mchana lakini mpaka saa hizi sioni dalili kama nitakula usiku huu... Chips hazichoshi sema kitumbo kitajaa nishindwe kuvaa baadhi ya vi blouse

Maisha ya usingle magumu yanatia uvivu kupika pika, kula restaurant kila mlo ni kujitia umaskini , nasubiri Dec nirudi kwetu nikanenepe
Maisha ya usingle magumu ? sasa mwenza si nipo hapa ,tukae tuyajenge, yawe mepesi jamani
 
Back
Top Bottom