Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,666
Picha iko wapi Rafiki?Mimi na wewe dam dam..
Mbona tunafanyiana mambo ya ajabu ajabu lakini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Picha iko wapi Rafiki?Mimi na wewe dam dam..
Khaaaaa!!! Nimesoma huku nacheka..
Kwani mistari hii nyimbo yake lini dyadya???
Sent using Jamii Forums mobile app





Niliingia usiku nikasepa kesho yake jioni, nilikupigia dada nikaambiwa you're not reachable.Halafu hii tabia yako ya kuja na kuondoka kimya kimya hainifurahishi kabisa
Haya niambie leo bata wapi aise
Nikija nitakucheck unipe lift. Mweeh!Kabisaaah huyo anakuja na kuyeya kimya kimya, aaah thijui hatak kutupa zawadi za maziwa fresh ya mtindi.
Tena mwenzio saiv na slay na V8 chezea weyeeeeeh lolNikija nitakucheck unipe lift. Mweeh!
Tuma auntieeeeh nione baas, afu nimekumic moaaahYa huyu haina mvuto bwana haina uwiano.
Achana kabisa na ya kwangumzigo huu hapa wa maana kabisa



Nipeni mzuka basi nitupie picha.
Nipeni mzuka jamani.
Maana nimependeza hatari.
Nimewaka balaaaa.
Ninashangaliwa mpaka aibu.
Sasa nataka na nyinyi mnione![]()




khaaaaaah kumbe na weee umo kweny ku flow vocal mweeeh, hadi mbavu zinauma uwiiiiiihHeeeeh nimepitwa lol, plz naomba weka tena mam nione.
Duuuuh na miwani juu, mweeeeeh hongeraNgoja niweke kambi hapa ya siku tatu nijionee maajabu ya Mungu. View attachment 1530064
Naomba uweke nikuoneWekeni picha acheni maneno mengi mengi bla bla .. nawafokea
Ngoja watoto walale lisije jina lisirudi toka kamati kuuNaomba uweke nikuone
Niliingia usiku nikasepa kesho yake jioni, nilikupigia dada nikaambiwa you're not reachable.
Bata leo 101 sasa utapaa ukuje?




Aisee sifa zimuendee mungu muumbajiWhen I was young. View attachment 1530199
Zamu yako basi na mimi nimpe sifa muumbaji..Aisee sifa zimuendee mungu muumbaji