Selfika na JF: Snap it. Show it

Nilikuambia usifute unaona sasa
Nilijua tu lazima shimba atakuja kulalamika

Tatizo SHIMBA YA BUYENZE nawe mchoyo sana wa picha zako acha upitwe tu
Nina maneno basi miye? Nimeshagivapu. Yote maisha tu bana. Yaani hao mabinti wawili wanavyonitesa na kuninyanyasa siyo poa hata kidogo. Itabidi tu nihame huu uzi mazima kwa sababu kila nikija ni za uso tu non stop dah !!!
 
Mkuu Captain hebu njoo uone ninavyokula za uso huku. Wakati wewe unaishiaga kusalimiwa na viemoji vitamu tamu. Nikimuona boya aliyesema eti binadamu wote ni sawa kichapo nitakachompa hatakaa akisahau
Tulia dawa ikuingie.. Captain picha anaweka... wewe unakazi ya kujaza server ya JF na Matunda..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…