Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,493
Nyie watu!!!!@Zoë!!!!!
Natamani na mimi kumjua eti..![]()






mie nilikuwa natania tuNyie watu!!!!@Zoë!!!!!
Natamani na mimi kumjua eti..![]()






mie nilikuwa natania tu@Zoë Mdogo wangu.. Nakuomba.
Mmmmh!!!!Haya bhana...![]()
mie nilikuwa natania tu
Andaa hela ya soda.
Mi nakauka Koo hapa halafu wewe hunisaidii hata
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wewe si una nguvu ya ushawishi? Ujue wewe unaweza ukamuomba mtu yeyote humu JF picha yake na akatuma hata kama hakufahamu!
Sasa hiyo karama uliyobarikiwa na Mungu kwanini usiitumie kutusaidia wengine tusio nayo? Mbona unakuwa mchoyo eti ewe Mtakatifu!







@Zoë Mdogo wangu.. Nakuomba.
Mmmmh!!!!Haya bhana...



mmhh kama nani, uoga wako tu ila ukiomba watakupa.KabisaaaaahMazoezi kwa afya.View attachment 1524603
Hebu weka picha auntieeeh nione hayo macho, ile jana sijaona lol
Embu weka macho yako hapa kwanza.






Halafu wewe mchochezi kaone, mi nilikuwa natania ila we umekomalia.








ah we nini na wewe, hebu usinichonganishe.Sawa mdogo wangu..Nimekuelewa..Hauna haja ya kuniomba hivyo jamani dada mi nilikuwa natania tu mwenzio