Afu hela iko mingi sanaUnaitwa wewe unanibeba nna mimi shauri yako.
We nenda weekend ndefu hii.
Ni party after party after party after party


We muache tuu, sitakuuaHuhuhuhuh jamaniiiih mmmh haya bhana poaaah


Unaitwa wewe unanibeba nna mimi shauri yako.
We nenda weekend ndefu hii.
Ni party after party after party after party



nakufa uwiiiiiih shangazi lol, kwan weee hutaki hiyo party after party.Sasa rafiki nitumie kwenye TigoPesa yangu hayo mahela.Afu hela iko mingi sana![]()
Naomba lift
Ukipewa na mie nigaie kidogo auntieehSasa rafiki nitumie kwenye TigoPesa yangu hayo mahela.
Aah rafiki..Kwani hawezi miliki lake eti,!!?Umeazima kwa nani aunt
Tatizo sasa hivi siwezi kuja hapa nilipo hata kutembea siweziWoooooow hebu njoo ukae, twende home kwetu.![]()
Kwani amu si nnamjua pia nikitaka kumuita tunaitana vizuri tuu, nimekuita wewe,nakufa uwiiiiiih shangazi lol, kwan weee hutaki hiyo party after party.


Ha ha amu tulia kwanzaSasa rafiki nitumie kwenye TigoPesa yangu hayo mahela.
Unashindwa kumuambia akupe mahela? Na kakuambia anayo mengi mengi na kakuitaUkipewa na mie nigaie kidogo auntieeh

Ooooh poleeeeh dada angu kipendhiii, shida nn tenaTatizo sasa hivi siwezi kuja hapa nilipo hata kutembea siwezi
Rafiki huyo gari lake nalijua si hilo ndo maana nikamuuliza ameazima wapi?Aah rafiki..Kwani hawezi miliki lake eti,!!?
Sasa unaanza ubahili hadharani.Ha ha amu tulia kwanza
Wewe ndiye unatakiwa umgaieUkipewa na mie nigaie kidogo auntieeh