Gallius
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,999
- 8,356
Akaaaaaaaah mie sio, ila naumia tyuuuh kwa niaba ya .... Lol
Pole yao hasa hili jiji bila pesa kuna mateso makubwa kwa wanafunzi...
Akaaaaaaaah mie sio, ila naumia tyuuuh kwa niaba ya .... Lol
Hiyo hapo mtoto mzuriii japo ni 3rd editionJamaniiiih mwenye ndinga aina ya BMW aweke, macho yangu yamemis kutazama, nipooze machungu ya HELSB.
Hongera san jamaniiiiih, yaan nazipenda hizi ndinga baas tyuuuuh.
Yaan inauma mnooh, acheni tyuuuh.Pole yao hasa hili jiji bila pesa kuna mateso makubwa kwa wanafunzi...
Karibu tujiunge kwenye chama la kupiga nazo pichaHongera san jamaniiiiih, yaan nazipenda hizi ndinga baas tyuuuuh.
Uwongo tyuuuh wakati hiyo n ndinga ako, hongera bhanaaaahKaribu tujiunge kwenye chama la kupiga nazo picha
Amini hivo me hata pikipiki sinaUwongo tyuuuh wakati hiyo n ndinga ako, hongera bhanaaaah
[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]Uwiiii! Utanifanya nilie kwa furaha jamani [emoji1734][emoji1734][emoji1734]
Asante sana. Na ukiendelea hivi muda si mrefu nitakutoa kwenye dhoruba ya matunda nibakie na Jael pekee. Yu medi mai dei na natumaini hujambo kabisa [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Lishaisha siku ileile[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Saint Anne tumia boom vizuri, sitaki matatizo mimi.
[emoji23][emoji23]niache mdogo wangu
Umehonga eeh?Lishaisha siku ileile[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app