cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,169
Mkuu bado sijaamini. Nasoma mara mbili mbili. Naogopa hiyo SHIMBA YA BUYENZE isije ikageuka na kuwa Captain![]()






Wooooooow babuuuh tanteeeeeeh moaaah, yaan mie kweny BMW hunitoi, napenda hii ndinga uwiiiiiiiih,Kumbe tunafanana hobbyView attachment 1521228




Nifanyie basi babuuuh, mjukuu wako nikimbize town.Sijui nikufanyie mchakato?
Jr![]()
Haya nimeacha rasmi ila matunda ni mazuri sana kwa afya. Blessings



Jamaniiiih mwenye ndinga aina ya BMW aweke, macho yangu yamemis kutazama, nipooze machungu ya HELSB.

Akaaaaaaaah mie sio, ila naumia tyuuuh kwa niaba ya .... LolKumbe mwanachuo![]()