Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,516
- 235,226
Yesu kimbilio hajawahi kuniacha
Yesu mwanga wangu
Mahali pa kujificha[emoji119][emoji119]
Yahweh we ni yote kwangu
Ee Yahweh ningekuwa wapi
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji445]
Yesu kimbilio hajawahi kuniacha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamanii
Picha zangu zimejaa kule juuNakusubiri wewe shost na mimi nifuate nyayo zako[emoji23]
Yesu kimbilio hajawahi kuniacha
Yesu mwanga wangu
Mahali pa kujificha[emoji119][emoji119]
Yahweh we ni yote kwangu
Ee Yahweh ningekuwa wapi
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji445]
AmenYesu kimbilio hajawahi kuniacha
Yesu mwanga wangu
Mahali pa kujificha[emoji119][emoji119]
Yahweh we ni yote kwangu
Ee Yahweh ningekuwa wapi
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji445]
Picha zangu zimejaa kule juu
SimaraYesu Kimbilio hajawahi kuniacha
Yesu mwamba wangu mahali pa kujificha
Anajua shida zangu yeye anazitatua
Bila yesu mimi ni mtu bure
KweliSi kweliii
Unaupenda eti eeee?
Wimbo mzuri sana
Huku kwemaAmen
Kwema mpendwa
Mimi niko salama kabisa mpendwaHuku kwema
Hofu kwako
Jamanii mwenye ndinga ya BMW, aweke macho yangu yamemic kuona hio chuma lol
[emoji120]Mimi niko salama kabisa mpendwa
Karibu mpendwa[emoji120]
Niambie T 1990 ELYChakorii
Mambo vipiNiambie T 1990 ELY
Mkiwa wawili inatia nguvu mkuu..tafuta campani nzuri tuHongera wengine kila siku tunasema tunaanza kesho