Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,561
- 23,991
Ha ha ha ha sawa
Nasubiri ya kwako kwanza
Wala hata. Mshkaji tu huyoNaona pembeni mkono wa mwenye mali siyo Mzigua90


42 kipenziHivi ni size 42 au 43?
Nimesahau kidogo...nikumbushe.



Naomba nione picha yako uliyofutaHuwa unalala saa ngapi![]()
Imebidi niutafute huo wimbo


Hebu weka na ya kwako ili nione kama yaliyomo yamo?Guuh sasa lol![]()
Ooh













Tazama huko juuh mie mbna nliweka lol.Hebu weka na ya kwako ili nione kama yaliyomo yamo?
Ooh
Ndani ya Kristo ninaweka tumaini langu
Sijui bila wewe Bwana wangu ningekuwa wapi
Anajua shida zangu yeye atazitatua
Bila Yesu Mimi ni mtu bure![]()
MnoYaani yule dada akiimba huwa ananipa upako sana.


Kati giza Yesu mwanga wanguOoh
Ndani ya Kristo ninaweka tumaini langu
Sijui bila wewe Bwana wangu ningekuwa wapi
Najua shida zangu yeye atazitatua
Bila Yesu Mimi ni mtu bure![]()
Mno
Haya weka na kapicha kako mamii![]()




Mmmh....