Yaan hapan kwa kweli wajeda watansamehe tyuuh, huhuh likizo hii ya corona wakat narud huku kutok home, nlkaa seat na mjeda afu n kijana mdogo tyuuh cjui ndo anaanza kaz, heeeh nliona safar chungu na nzto, af vzur nlikua dirishan, huwez amini tangu mwanzo wa safar hadi aliposhuka yey ruvu, skuwa naongea bizze na kuskliza
kweny
macho dirishan tyuuh