cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,168
Oooooooh greatMy home. My sanctuary. My heaven on earth.
My lifestyle factory.
![]()
Oooooooh greatMy home. My sanctuary. My heaven on earth.
My lifestyle factory.
![]()
Georgia ATLNegative.
Try again.
huyo bila shaka atakuwa ni cocasticKhaah... Kama juzi kati nilibahatika kukutana na rafiki yangu tuliopptezana kwa muda mrefu.
Aisee kumbe kwa miaka hiyo tuliyopotezana jamaa keshabadilika na yupo na kazi nzuri ya heshima yake hapa mjini...
Katika story mbili tatu nikagundua huyu rafiki yangu keshapotea, sijakaa sawa naona anaanza nishika mkono mara kulamba shingo yangu...
Ilibidi niage kwa kweli, huu mji hawa watu wamejaa sana na hadi kuwagundua ni hadi akuoneshe hizo pigo...
Georgia ATL
Duh kuna watu wana bahati!Mbona mimi hunitii?
Ahhh vidole inabidi leo nione vyako kidogo hahaBoss leo naomba vidole vyako tu...
Halafu unakunywa hiyo una company maana naskia kwa wadada huwa zinakimbilia huko chini kwenu..
Should i say something?Duh kuna watu wana bahati!
sio mwanamke mkuu ila ana vimelea vya mwanamke?Kwanini mkuu! Huyu si mwanamke lakni?
Go ahead lady.Should i say something?
Ahhh vidole inabidi leo nione vyako kidogo haha
Usijali solution ipo hehehe
Snap it show it ☺️☺️Go ahead lady.
sio mwanamke mkuu ila ana vimelea vya mwanamke?
sio mwanamke mkuu ila ana vimelea vya mwanamke?





una shida sana weee mkaka lol, kwan unateseka?Hongera na majukumu bado uko job au working from home?.
hahahahahyaani weee mbona una haha hivyo? Lol hebu relaaaaaaaax
Done didSnap it show it ☺☺