Selfika na JF: Snap it. Show it

Siwezi kusahau kabisa.

Nikienda utapata tu..

Nawaoneaga wivu watu wa mwanza kwenye samaki..
Ninavyopenda kula samaki aliyepikwa kiswazi
Hao dagaa wa mafuta kuna bingwa huwa ananileteaga, wakiisha basi huwa nakosa raha, dagaa wa Mwanza ni kiboko, mbonga moja naipenda sana hasa na ugali, hata wali, ukizikaanga vizuri na vitungu swaumu,tangawizi kidogo na kaliimao, pilipili kidogo unachanganyana kachumbari mambo yanakua matamu sana kwa ugali
 
Mmmmmmmh
 
Mhmmmm...wewe inaonekana unajua kupika aiseh..🤣🤣sasa ndo ukutane na mwanamke asiyejua kupika ndo kabsa utakuwa unalala kwa mama ntilie😅😅😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…