Hao dagaa wa mafuta kuna bingwa huwa ananileteaga, wakiisha basi huwa nakosa raha, dagaa wa Mwanza ni kiboko, mbonga moja naipenda sana hasa na ugali, hata wali, ukizikaanga vizuri na vitungu swaumu,tangawizi kidogo na kaliimao, pilipili kidogo unachanganyana kachumbari mambo yanakua matamu sana kwa ugali