Mi najua basi? Ni vitunguu na nyanya. Hapo nilikuwa nataka nitie vyote vilivyobaki humo (dagaa, bamia na mchicha) vitajuana vyenyewe ila mboga ilikuwa tamu kwa kiwango changu. We acha tu yaani
Alitaka kuitupa nikaichukua nikaenda kuiuza nikampa hela zake. Kubebeshwa ngozi namna hiyo ilikuwa ni ishara ya heshima ya mgeni ndo maana nilimkataza asiitupe.