[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mi najua basi? Ni vitunguu na nyanya. Hapo nilikuwa nataka nitie vyote vilivyobaki humo (dagaa, bamia na mchicha) vitajuana vyenyewe ila mboga ilikuwa tamu kwa kiwango changu. We acha tu yaani [emoji16][emoji16][emoji16]
Nimependa tu hapo kwenye mabano, safi sana.Mabaharia waliniwahi japo bado tuko marafiki wa chanda na pete (hatupashi kiporo). Yeah! Zamani nadhani nilikuwa na chembe za ufurushi [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata mimi nisingeelewa cha kufanya na hiyo ngozi ya ng'ombe
Ewalaaa!!Unakwenda unaiuza tena bei nzuri tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Alitaka kuitupa nikaichukua nikaenda kuiuza nikampa hela zake. Kubebeshwa ngozi namna hiyo ilikuwa ni ishara ya heshima ya mgeni ndo maana nilimkataza asiitupe.
Hapana, kasema "baada ya kuachana" hivi marafiki huwa wanaachana eeh[emoji848][emoji848]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Eeeh mnapingua urafiki teh
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila yeye kasema bado ni marafiki wakubwa, so[emoji1745][emoji1745]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila hawapashi viporo
Uzi umepoa.View attachment 1487107
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]True love hiyo kwio
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jael uache mambo yakoView attachment 1487108
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Have you ever had that one well fitting black bra eeh!! If you know you know.
Jael, nipo tu ndugu yangu, nafurahia hali ya hewa ya Daslamu.!Kataskopos nakusalimia.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]I kno wotch you saying. Black bra for life teh
Huko tanuruni[emoji848][emoji848][emoji848]Jael, nipo tu ndugu yangu, nafurahia hali ya hewa ya Daslamu.!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Life saver.