Wasukuma
wakarimu sana.
Mimi tumefika jioni akaletwa mbuzi hata sijui.
Asubuhi naambiwa njoo umshike mbuzi.
Mila eti kabla hajachinjwa unatakiwa umshike mbuzi wako.
Alivyochinjwa nikaambiwa amua mwenyewe utamfanyaje.
Tulikuwa na group la marafiki zake Mr wametoka dar yule mbuzi wakamgeuza wao.
Akachomwa, nikapika pilau, nikakaanga burudani kabisa.