Yanani siku hiyo ulinipa mawazo nikasema kwani kumnunulia chakula siku hiyo kuna shida gani? Ila nikakumbuka wewe ni mpare. Kweli bana in a relationship don't invest what you can't afford to lose; mpare hutaki mazoea na pesa yako. Btw ulikuwa unawapa info before kuwa waje wamekula kabisa au ulikuwa unawaambaije? teh
Yanani siku hiyo ulinipa mawazo nikasema kwani kumnunulia chakula siku hiyo kuna shida gani? Ila nikakumbuka wewe ni mpare. Kweli bana in arelationship don't invest what you can't afford to lose; mpare hutaki mazoea na pesa yako. Btw ulikuwa unawapa info before kuwa waje wamekula kabisa au ulikuwa unawaambaije? teh
kumbe na wewe mchokozi sio. Sikuwa na maana hiyo uliyodhani, nilimaanisha siku ya kwanza kuonana sio siku ya kunywa pombe, kulewa na ku-misbehave kwa mtu msiyejuana. Ikibidu soft drinks tu, basi hata "wali maharage" sio vibaya
Hahahaha, mimi nakutega tu, siulizi habari ya vyumba date ya kwanza hadi ya kumi. Hadi itafika siku wewe ndio utasema "hivi humu hamna vyumba kweli, najisikia uchovu".
kumbe na wewe mchokozi sio. Sikuwa na maana hiyo uliyodhani, nilimaanisha siku ya kwanza kuonana sio siku ya kunywa pombe, kulewa na ku-misbehave kwa mtu msiyejuana. Ikibidu soft drinks tu, basi hata "wali maharage" sio vibaya
Hahahaha, mimi nakutega tu, siulizi habari ya vyumba date ya kwanza hadi ya kumi. Hadi itafika siku wewe ndio utasema "hivi humu hamna vyumba kweli, najisikia uchovu".