Hiyo mitaa inachanganya mno
Tujani gani huto mpendwa?
Tujani gani huto mpendwa?
Hiyo mitaa inachanganya mno
Kwenye hiyo sahani, naona tuminofu, vinyanyanyanya na tujani. Nikataka kujua tunapamba tu sahani au na twenyewe gunaliwa?
Kila j2 nilikua nikipanga niende st.Joseph hapo napotea vichochoro.. kuna siku nilitokezea geti la ikulu. Niliacha kwenda na nikirudi hapo sijui kama nitaikumbuka njia kutokezea kwenye hilo jengo kwa kutokea Darajani markiti
Wapi hapo mkuu
Hahahaha ,JF bana
Huwezi amini Dear..
Weekend yako imenyooka mkuu.Kwa hii shehena sina haja ya kutoka out kwa mwezi mzima...
Hizo savannah namtafutia mnywaji wikiendi ya leo..
View attachment 1483989
Mweeeeh!!Huwezi amini Dear..
Sijaiyona hata.. na notification naona siku hizi sipati zote.. comment yenyewe ndiyo naona saa hii..
Tukutane PM Dyadya.. Roho inaniuma hatari..
Sent using Jamii Forums mobile app



Kwa hii shehena sina haja ya kutoka out kwa mwezi mzima...
Hizo savannah namtafutia mnywaji wikiendi ya leo..
View attachment 1483989










