Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kah nimesoma mwanzo mpaka mwisho nikanza kusoma mwisho mpaka mwanzo, maana sio kwa maonjo haya,

hivi Kasie ukianza kumuweka kati baba watoto ukitaka kumtoa pesa ukimpanga na maneno haya yenye maonjo yake anachomoka kweli?

wanawake mnatikwa muwe wabunifu na mjue wanauem tunapenda nini sisi wanaume sio mabahiri ila tunapoeta sana tukipangwa na mavionjo


Aahahahahahaa sijisifii ila sijawahi kumuomba hela Dadii, kuna sauti nikiitumia na taswira ya uso inavyokuwa anajua kinachohitajika. Naletewa vitu, pesa na mahaba juu.

Kiukweli mapenzi bila ubunifu yanaboa, yanachosha hasa baada ya kuzoeana. Na ubunifu ukubalike pande zote, mwingine ukimfanyia ubunifu anakwambia ndo nini hio acha uhuni.....

Thanks for my Dadii, he is my sweet Jam and am his Cheese..... We munch each other while sandwiching....

K' Mahaba.
 
Aahahahahahaa sijisifii ila sijawahi kumuomba hela Dadii, kuna sauti nikiitumia na taswira ya uso inavyokuwa anajua kinachohitajika. Naletewa vitu, pesa na mahaba juu.

Kiukweli mapenzi bila uninitialized yanaboa, yanachosha hasa baada ya kuzoeana. Na ubunifu ukubalike pandemic zote, mwingine ukimfanyia ubunifu anakwambia ndo nini hio acha uhuni.....

Thanks for my Dadii, he is my sweet Jam and am his Cheese..... We munch each other while sandwiching....

K' Mahaba.
Kwa lecture hizi na me nikiiga, wallah neno "kuachika" nitaishia kulisikia redioni. mam kubwa
 
Kasie kila kitu yeye ni mbobezi, enzi za ujana wake tho bado hana uzee ule ila fujo tu, enzi zake anakuambia alikua hakuna gari barabarani linampita, yeye na mafujo kama yote,

Aahahahahahhaaaa

Nilikuwa mpole sanaa aiseeh hata siongei nilikuwa mkimyaaa.....

Basi tuu walimwengu wakanidukua tangu hapo ndo Matata yakaanza aahahahahahaaaa
 
Back
Top Bottom