Kwenye kuonja sina shida nae, aonje tuu hata mara nne kwa mwezi. Shida itaanza akitaka akaonje kila siku au kila mara weeeh.... Ajiandae kukosa rosti la biringaya na nyanya chungu lililoungwa na tui bubu la nazi na dagaa mchele waliokaushwa na joto hafifu na wenye ladha ya ndimu kwa mbali na pilipili kwa mbali....
Zamani zileee nilikuwa moto chini kiuno kinazunguka mota inasubiri. Sikuhizi hamna kitu, nimezeeka na kukakamaa kama gogo kavu nikilazimisha kukatika tuu navunjika aahahahahahaaa.
Kwenye kuonja sina shida nae, aonje tuu hata mara nne kwa mwezi. Shida itaanza akitaka akaonje kila siku au kila mara weeeh.... Ajiandae kukosa rosti la biringaya na nyanya chungu lililoungwa na tui bubu la nazi na dagaa mchele waliokaushwa na joto hafifu na wenye ladha ya ndimu kwa mbali na pilipili kwa mbali....
Zamani zileee nilikuwa moto chini kiuno kinazunguka mota inasubiri. Sikuhizi hamna kitu, nimezeeka na kukakamaa kama gogo kavu nikilazimisha kukatika tuu navunjika aahahahahahaaa.
Kwenye kuonja sina shida nae, aonje tuu hata mara nne kwa mwezi. Shida itaanza akitaka akaonje kila siku au kila mara weeeh.... Ajiandae kukosa rosti la biringaya na nyanya chungu lililoungwa na tui bubu la nazi na dagaa mchele waliokaushwa na joto hafifu na wenye ladha ya ndimu kwa mbali na pilipili kwa mbali....
Zamani zileee nilikuwa moto chini kiuno kinazunguka mota inasubiri. Sikuhizi hamna kitu, nimezeeka na kukakamaa kama gogo kavu nikilazimisha kukatika tuu navunjika aahahahahahaaa.
Kasie kila kitu yeye ni mbobezi, enzi za ujana wake tho bado hana uzee ule ila fujo tu, enzi zake anakuambia alikua hakuna gari barabarani linampita, yeye na mafujo kama yote,