Fortnox
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 3,160
- 11,214
Mbona na mimi mkristo mkuu pesa haichagui dini uweza oa hata mtoto wa shekhe wa tanzaniaZuri kinoma tatizo wallet afu mi mkristo.
Mbona na mimi mkristo mkuu pesa haichagui dini uweza oa hata mtoto wa shekhe wa tanzaniaZuri kinoma tatizo wallet afu mi mkristo.
lakini dini inachagua wallet na mimi sina wallet nina kibubu.Mbona na mimi mkristo mkuu pesa haichagui dini uweza oa hata mtoto wa shekhe wa tanzania
Hahahha mkuu si unavunja tu kibubu unazani ni pesa mingi basi usiwaogopelakini dini inachagua wallet na mimi sina wallet nina kibubu.
Acha kuninyanyasa BasiHasa so ndo raha kutoona vizuri,mbona we naona kashepu kazuri sikuoni sura ninaona maemoji ya ulimi ukimeza dola.



Una mwili mzuri.

Pricallia alishasema pesa mimgimingi siyo pumbu hata paka anazo.Hahahha mkuu si unavunja tu kibubu unazani ni pesa mingi basi usiwaogope
Ntaweka ngoja kwanza nikavute bangi.Acha kuninyanyasa Basi
Tangu asubuhi unaninyanyasa tu
Hahahha hizo labda kwa bakhresa au kwa MO atazipata na kwa marehemu reginald mengiPricallia alishasema pesa mimgimingi siyo pumbu hata paka anazo.
Usicheze na mamba kwenye kina kirefu ATAKUMALIZAAAAAAAPricallia alishasema pesa mimgimingi siyo pumbu hata paka anazo.
Una mwili mzuri pia mdogo wangu. Tena hadi rangi tumefanana 😍Una mwili mzuri.
Nikikua mkubwa natamani niwe Kama wewe![]()
Hmmm! Unaniongopea kama mimi ni kibabu cha miaka70sijafuta mbona
Wewe 😂Pricallia alishasema pesa mimgimingi siyo pumbu hata paka anazo.
AiseeNtaweka ngoja kwanza nikavute bangi.

Una mwili mzuri pia mdogo wangu. Tena hadi rangi tumefanana![]()

Huoni mwenzako prisca anajiachiaa
Utaupata tu kipenzi. Kuongezeka mwili ni kuridhika tu ☺
Natamani ninenepe niufikie mwili wako
Mimi zangu juu sijafutaHuoni mwenzako prisca anajiachiaa