Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Duh,weka ya uso
Zamu yako kuweka.
Yaani sijui hata umeniwekea picha gani hiyo jamaniZamu yako kuweka.





Wewe ndiye huyu wa pembeni?Miaka hamsini iliyopitaView attachment 1468429
Kijana wangu huyo.Wewe ndiye huyu wa pembeni?
Ntaweka ukisema wekaDuh
Yako utaweka lini?
Naomba uwekeNtaweka ukisema weka

Nimeshaweka ni zamu yako sasa nione kipotable.Naomba uweke![]()
Tatizo huniambii wewe ni yupiMimi and Nyabinghi familyView attachment 1468500

wewe ndio huyu kwenye pikipiki
Mwenye sura ya kisukuma.Tatizo huniambii wewe ni yupi![]()
Mimi mpiga pichawewe ndo huyu kwenye pikipki
Nataka kuona gauni la mpiga picha.Mimi mpiga picha


Wewe ndio unaninyanyasa nimeweka picha zangu nikinya, nikila lakini we badoDuh
Leo umejua kuninyanyasa
Umenijibu kisiasa hapa 😀😀😀Zipo hapo juu