Wenyewe unakuja mwili automatically dear!!Mimi ni mfano hai kabisaaMimi nitakula zaidi ili niongezeke zaidi
Samaki hapo tuu[emoji39][emoji39][emoji39]
Hahahaha!jamani jamani kwelii!tena hakuna kitu humoo!!
Yakobo ana madini hatari[emoji91][emoji91][emoji91]Ukitoka hapo Unaenda [emoji116]
Yakobo 1 : 2- 3
Ndugu zangu, hesabuni ya kuwa ni furaha tupu, mkiangukia katika majaribu mbalimbali;
mkifahamu ya kuwa kujaribiwa kwa imani yenu huleta saburi.
Amin[emoji7][emoji7][emoji119]Wenyewe unakuja mwili automatically dear!!Mimi ni mfano hai kabisaa
Ahsante!!nakutamani balaa Mimi sijui km ntarudi hapoo!maana nna mtumbo na mvivu wa mazoezi nikianza wiki tu mmeacha!!yaani sijui hata mmekuwaje!Jamani [emoji7][emoji847]
Hangera
Huo mwili wako wa Zamani ni kama wangu wa Sasa.
Nimependa sketi yako.
Wow u too dear malaika wake wakulindeView attachment 1462971
Goodnight to y'all
Sawaaa, usijali kwa hilo, usije ukahonga tuu [emoji23]Really? Then I'm ..... [emoji3]
Amin[emoji7][emoji7][emoji119]
Wow u too dear malaika wake wakulinde
Nawe piaView attachment 1462971
Goodnight to y'all
I'm an introvert type of a person.Pole sana mchumba, why overthinking?
Una ulcers?!!pole sana!uko mkoa gani?Dogo nina balaa la ulcers hapa,kulala ni ishu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We lala tu uongeze kilo
😂😂Sawaaa, usijali kwa hilo, usije ukahonga tuu [emoji23]
TubadilishaneAhsante!!nakutamani balaa Mimi sijui km ntarudi hapoo!maana nna mtumbo na mvivu wa mazoezi nikianza wiki tu mmeacha!!yaani sijui hata mmekuwaje!
Wacha wee[emoji7][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haha me sijaenda kupima, ila jeans zimeshaanza kunibana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 1462988what if Burna wasn't boy?! What if FA wasn't Mwana?
.....
NdiyoMbeya?
What if Joh couldn't be Makini?What if Wiz wasn't kid?