Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,570
- 235,411
Asante Sana mkuu.Natoa mualiko wa idd kwa wote humu kwa anae taka ani inbobo Mana wote Ni ndugu moja location itasomeka kwa mathias kibaha
kilicho akilini kitumie
Ama kweli wewe mzembe.
Usitake kunambia umepitwa na picha hapahapa unaona [emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Aah udongo me sili kabisa, ila napenda kale kaharufu ka vumbi manyunyu yakianza kudondoka.Mimi natia aibu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utadhani mama mjamzito..yaani nitajikanyaga weee Hadi nitafute kipande Cha udongo
Michele sijawahi kutafuna ila malimao huwa nayaelewa Sana nikitia na chumvi Basi mambo Ni Moto[emoji91]
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole Sana aisee
Mmhh sawaNishawahi kukwambia nilizisave kwenye ubongo
The only thing to fear is fear itself
Mimi ile harufu Niko radhi nikae nje manyunyu yaliloweshe kwa ajili ya ile harufu.Aah udongo me sili kabisa, ila napenda kale kaharufu ka vumbi manyunyu yakianza kudondoka.
Limao hebu achana nalo [emoji3]
Duh sijui mkuu chagua lolote tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sahivi ukiweka picha halafu ufute unaweza ukalia na mod aliye zamu
Oohh safi kabisaUkiwemo na wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimepona Mimi tu.
Huyu dogo mzuri Sana,nikumbushe Kesho nikuonyeshe picha Yake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekula futari Sehem, Nimekuta hayo madiko dikoKwani umezijulia wapi?
Iko hapo juu mkuuKila mtu ni mzuri mkuu, we yako sijaona hata nusu picha. Naomba nikuone mkuu [emoji8]
Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimeambiwaKoh koh M
Hujaelewa au unataka mjadala uwe mrefu [emoji3]
ππ[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimeambiwa
Mkuu limao linaenda na chumvi.[emoji3] me mwenyewe sijui ila nmepata ukakasi limao+chumvi tena kwa kulamba
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nakata limao[emoji3] me mwenyewe sijui ila nmepata ukakasi limao+chumvi tena kwa kulamba
Sent from my iPhone using JamiiForums
Yaani hapa najiona Mimi kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakata limao
Napakaa chumvi
Naaanza kula, chumvi ikipungua naongeza huku naendelea kula huku nakamua kupata yale maji maji nilambe vizuri..
Ni tamu we acha tu
πππ ndiyo maana hatunenepiYaani hapa najiona Mimi kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app