Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Dah! Jana usiku ulikuwa ni usiku mbaya sana.

Nimeota tumevamiwa na simba dume.

Badala ya kugangamala tupambane naye, kila mtu akatawanyika.

Halafu mbio za usingizini hovyo sana. Mtu unakimbia taratibu sana halafu kwa mbinde huku simba yuko nyuma yako.

Baadaye kidogo ndo unastuka na kuona kuwa ilikuwa ni ndoto tu.

Ndoto imenivuruga.

View attachment 1445810

Nimeamua nije hapa nizimalizie hasira zangu kwenye hii makitu.

View attachment 1445818
Mkuu Kama iringa hivi hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mabaharia, Wazamia meli na Mazungu wa .... miaka hiyo, lazima akirudi bongo anarudi na hii kiatu




11855327ud_14_f.jpg


11855327ud_14_r.jpg
11855327ud_14_e.jpg
 
Dah! Jana usiku ulikuwa ni usiku mbaya sana.

Nimeota tumevamiwa na simba dume.

Badala ya kugangamala tupambane naye, kila mtu akatawanyika.

Halafu mbio za usingizini hovyo sana. Mtu unakimbia taratibu sana halafu kwa mbinde huku simba yuko nyuma yako.

Baadaye kidogo ndo unastuka na kuona kuwa ilikuwa ni ndoto tu.

Ndoto imenivuruga.

View attachment 1445810

Nimeamua nije hapa nizimalizie hasira zangu kwenye hii makitu.

View attachment 1445818
Haha huwa wanasema eti ukiota unakimbia hivyo taratibu ujue ulilala umekunja miguu
 
Back
Top Bottom