Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwanza sijapenda kwanini hii Union day imedondokea jumapili!! Si ingengoja kesho aisee, nimeumia mnoo.

Kuhusu notification wallah sipendi zitokee hivyo, huku kwangu nilidisable.... Halafu hebu nitumie hiyo nyimbo.

Then hongereni maana mlikuwa mnatia sana huruma wazee wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…