Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,487
Mmhh fanya utusaidie wote jamani
Mmhh fanya utusaidie wote jamani
Hahahahah
Kama wapo serious, ziko wapi tenaaa!!
Hawa nishawazoea mimi jamani!! Nisipoona notifications naenda browser najibu then narudi kwenye app
Huko kwingine watu wanatucheka wanasema hazitadumu, haina neno tusiongee sana tusubiri tu mei mosi.
Hahahahah
Kama wapo serious, ziko wapi tenaaa!!
Hawa nishawazoea mimi jamani!! Nisipoona notifications naenda browser najibu then narudi kwenye app









wallah akili zako zinakutosha mwenyeweKitu Cha may mosiHuko kwingine watu wanatucheka wanasema hazitadumu, haina neno tusiongee sana tusubiri tu mei mosi.

Hata wasisherehekee maana hazitodumu, sidhani hata kama wiki itafika.



mwee mbona mnatukatisha tamaa jamaniKama kuhusu kuniona nakumbuka nilishakufungulia code hadi sasa unaniona,Mmhh fanya utusaidie wote jamani




Kwanini?
Akirudi baadaye atakuja kuniponda.Kwanini?
Oohh nilijua ulinidanganya kumbe kweli, basi msaidie saint anne tu.Kama kuhusu kuniona nakumbuka nilishakufungulia code hadi sasa unaniona,
Nafikiria namna bora ya kudecode kwa ajili ya Saint Anne
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeona bado mnaendeleza gurudumu kwenye ule uzi wa app users vs browser users, mko vizuri.Akirudi baadaye atakuja kuniponda.
Ukisoma zile charts zetu utacheka mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Wiki au kesho auntieHata wasisherehekee maana hazitodumu, sidhani hata kama wiki itafika.
wallah akili zako zinakutosha mwenyewe










Wiki au kesho auntie





App haijawahi kuacha kuwa na mawenge. Inafaa siku moja ya pili inarudi ICU






