Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,547
- 88,538
Mesahau kabisa eti
Mesahau kabisa eti
Kweli enh ?? Sasa kama unatumia app kwako haujaona notifications kwa bar ??Naingiaga huko kujibu quotes tuu
Nimeona ila nimejua hawako seriousKweli enh ?? Sasa kama unatumia app kwako haujaona notifications kwa bar ??
Yaani acha tu nilikuwa nishaanza kuboreka napitiwa na kausingizi simu iko mkononi ghafla nasikia mlio wa notifications zinamiminika kama zote nikasema hapana hii siyo whatsapp wala kitu kingine, kucheki hivi JF nikasema weweeeee.
Utakuwa umewachanganya[emoji23][emoji23]
Natamani nimnyanyue Melo juu kwa furaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani acha tu nilikuwa nishaanza kuboreka napitiwa na kausingizi simu iko mkononi ghafla nasikia mlio wa notifications zinamiminika kama zote nikasema hapana hii siyo whatsapp wala kitu kingine, kucheki hivi JF nikasema weweeeee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dada wewe ndiyo hauko serious kabisa, walituahidi mei mosi wanaachia msosi ila naona wameshaanza kutuonjesha kwanza jikoni kabla msosi haujafika mezani.Nimeona ila nimejua hawako serious
Wewe najua umeshaniona hapa najaribu namsaidiaje Saint AnneMesahau kabisa eti
Hahaha tusubiri hiyo may panapo majaliwaYaani acha tu nilikuwa nishaanza kuboreka napitiwa na kausingizi simu iko mkononi ghafla nasikia mlio wa notifications zinamiminika kama zote nikasema hapana hii siyo whatsapp wala kitu kingine, kucheki hivi JF nikasema weweeeee.
Notification mpak kwenye bar 😀😀Woyooo notifications za JF zimeanza kuonekana kwa notifications bar kama zamani, wapi Depal na team browser wenzie wenye gubu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mara ya mwisho kuonekana hivyo kwangu ilikuwa ni june mwaka jana, Saint Anne naona mambo yameanza kuiva taratibu tu team browser watatuelewa. [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Can't wait for mei mosi
Happy union's day everyoneView attachment 1430957View attachment 1430964
Hahah ninyanyue mie kwa niaba yakeNatamani nimnyanyue Melo juu kwa furaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dada wewe ndiyo hauko serious kabisa, walituahidi mei mosi wanaachia msosi ila naona wameshaanza kutuonjesha kwanza jikoni kabla msosi haujafika mezani.
Kwa kweli
Yup yupNotification mpak kwenye bar [emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na yule hakosi sababuUtakuwa umewachanganya[emoji23][emoji23]
Utaona davet atakavyoniponda..atatafuta tu sababu ili apingane na Mimi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] acha tuNatamani nimnyanyue Melo juu kwa furaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app