NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,726
- 49,572
Mkuu bonge LA msosi huu lakini siunajua mambo ya kipenda roho hahahaaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuu,
.Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu bonge LA msosi huu lakini siunajua mambo ya kipenda roho hahahaaha
Sent using Jamii Forums mobile app
.Usijali wewe utaletewa kabisa.Kataskopos umesubiri nimelala ndio ukaweka eeh?
Nimekununia.
Aki nimekimbia joto la magomeni kwa binyau dada ake. Nimekuwa mitaa iyo kwa miaka.Sema haki ya nani ??
Naona mkuu; kama 'Visiga ' tuSisi wa TANITA kama beach tuu
Jr![]()
We jamaa umerudi Dar?Guess ninachokunywa hapa, wa kwanza kupatia nampa zawadi, najisikia kutoa zawadiView attachment 1428960
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikiri wameshapatiaGuess ninachokunywa hapa, wa kwanza kupatia nampa zawadi, najisikia kutoa zawadiView attachment 1428960
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikiri wameshapatia
Nakusalimia tuu mimi jamani mkuu
Mimi sijambo kabisaa jamani...Hamna hata aliyejaribu, fanya kukisia basi kuna 20k inaniwasha hapa kwenye simu, mimi nipo poa vipi wewe?
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo coded kidogo sema najua tutakuwa tumesoma? Sikuwa hapo leo ndio natoka hapa nilipo naingia mzigoni baadae kidogo...
Ha a ngoja nikupe hint, konyagi na...Mimi sijambo kabisaa jamani...
Mimi ni mbovu mnoo wa kukisia, naona kama ni chai ya mdalasini
Kesho mkuu, imekaa poa zaidiUpo coded kidogo sema najua tutakuwa tumesoma? Sikuwa hapo leo ndio natoka hapa nilipo naingia mzigoni baadae kidogo...
Kwa heshima yako naomba tuonane kesho Mkuu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Asali.Guess ninachokunywa hapa, wa kwanza kupatia nampa zawadi, najisikia kutoa zawadiView attachment 1428960
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha
Oohh asante nimeshakaribiaAki nimekimbia joto la magomeni kwa binyau dada ake. Nimekuwa mitaa iyo kwa miaka.
Karibu Mitaa ya 'Visiga madafu'
Hali ya hewa ya uku inapambana na corona automatically