NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,726
- 49,572
Unataka kusemaje? Akii nimecheka mno 😂😂😂😂😂😂😂😂
😀😀😀Kupambana kila mahali View attachment 1416310View attachment 1416311
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu ipo siku nitaweka kambi hapo, maana siku zote huwa napita tu nikiwa naenda Mbeya.
Ndani ya barakoa siyo
Mweee kwani siruhusiwi kusafiri jamaniUliSema haupo Dar...
Emu fanya uje mjini....Mafinga upo holiday ya Pasaka au umewekwa Karantini?
Huku nimeamua kuji karantinj kwa muda na kuvuna mitiEmu fanya uje mjini....Mafinga upo holiday ya Pasaka au umewekwa Karantini?