Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] looh we naye mshakunaku tangu juzi tunakuita mi na Depal haukuji ila leo kusikia tunaongelea picha za Heaven Sent ndiyo umeibuka, na kwa taarifa yako ninazo ila sikupi.
Atajifanya alikuwa haoni notification... Na pic za Heaven Sent hapati 😂😂😂
 


Hiyo picha yako ya mwisho ulikuwa unataka kutuonesha ukubwa wa pumbu zako ama?
 
[emoji2296][emoji2296] kumbe kuchomoleana betri kwa jinsia moja ni ajabu ila kwa jinsia tofauti ndiyo sawa, dunia simama (malizia)...
Mara nyingi jinsia tofaut zikishindwana kulalana huko nje ndio zinakuja kulipuana japo nayo ni tabia ya immatured fellas
 
Mara nyingi jinsia tofaut zikishindwana kulalana huko nje ndio zinakuja kulipuana japo nayo ni tabia ya immatured fellas
Oohh sasa watu ndiyo hawataki hayo mambo, maana hauwezi jua anaweza akanitumia mimi halafu mimi nikamtumia mtu mwingine ambaye ni me halafu huyo mtu ndiyo akamchomolea betri.

Haya mambo haya yasikie kwa jirani tu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…