Hahahaha khaa nani kasema hayo yote, wabongo tuna imani za ajabu jamani.
Hapana mkuu mtu kutokukutumia picha yake sidhani kama inahusiana na kuibiana nyota, labda inawezekana hayo mambo yapo ila mie siamini kwa kweli.
Ni vile humu hatufahamiani sasa ukisema kila anayekuomba picha yako umtumie utafahamiana na wangapi, isitoshe humu hatuaminiani sababu ya huu mtindo wa kuchomoleana betri.
We siyo mgeni humu, utakuwa unajua na umeshaona baadhi ya watu waliochomoleana betri sababu ya kukubali kutumiana picha kirahisirahisi tu.