hiyo statement bora umewahi kuisema mwenyewe, yaani nusu nikuambie hapa kesi ya nyani umeleta kwa ngedere.
nimekumbuka kuna mtu alianzisha uzi wake, ukatoa comment moja hiyo hadi alijaa sukari nikashangaa tu "Jael sitaki mazoea na wewe", nikasema uwii huyu dada ataja kuua watu kwa hasira na majibu yake haya, maana sikuelewa ile comment yako na kutaka mazoea vinahusianaje.