Yaani tunatofaitiana sana, yaani wanavyopendeza na hizo way hadi mimi natamani kuiweka. Sijawahi kuwafikiria wanaoziweka kwa namna ya tofauti bali naona ni urembo tu.
Yaani tunatofaitiana sana, yaani wanavyopendeza na hizo way hadi mimi natamani kuiweka. Sijawahi kuwafikiria wanaoziweka kwa namna ya tofauti bali naona ni urembo tu.
Teh teh ingekuwa rahisi hivyo basi wengi tungeliwa kimasihara sana tu, maana wengine tuna hadi namba za freelancers wa kusajili line za simu nini vinyozi.
Yaani tunatofaitiana sana, yaani wanavyopendeza na hizo way hadi mimi natamani kuiweka. Sijawahi kuwafikiria wanaoziweka kwa namna ya tofauti bali naona ni urembo tu.