Selfika na JF: Snap it. Show it

Me mwenyewe nachukulia kama ni urembo tu; and honestly wanapendeza mnoo. Aiaee ni vile tu nina huu mbichwa mrefu kama basi
Yaani tunatofaitiana sana, yaani wanavyopendeza na hizo way hadi mimi natamani kuiweka. Sijawahi kuwafikiria wanaoziweka kwa namna ya tofauti bali naona ni urembo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…