FENtastic
JF-Expert Member
- Aug 4, 2015
- 6,780
- 10,553
amu gladi tuu tu noo yua weli..
Ene nyiuzi?!

Nyiuzi: yua stili noti zea
Sent using Jamii Forums mobile app
amu gladi tuu tu noo yua weli..
Ene nyiuzi?!

Mbona sasa kuna kontena mbili za rangi mbili tofauti? Kingine cha nani?
Nikae gizani? Hapana kwa kweli 😅😅
Hapana RogerNdio. Nimeongea uongo kwani?
HahahahaNa hiyo akiii tena... Itabidi niite UT waje wakakufanyie thara investigesheni kwanza![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe mida ya lunch tayarii
Hebu hukooWe huku kwetu Buza zilikuwepo selfie, sema kulikuwa na Smartphone moja na ilikuwa inakaa kwa Mtendaji wa kata![]()
Niliwaona kule kimasihara kuna member mmoja aliwatolea uvivu, kusoma kitu ambacho sikielewi kwangu ni mwiko
Jitahidi uwe unasoma kidogo jamani...
Wengine huwa wanatutimua kwenye threads
Ai wili bii zea, yu noo amu sikeadi eeeh
Niliwaona kule kimasihara kuna member mmoja aliwatolea uvivu, kusoma kitu ambacho sikielewi kwangu ni mwiko











Enzi hizo nilikua nikiona nyama kama hivi nilikua najisogeza maeneo ya kwa mfojo tabata
Sent using Jamii Forums mobile app

Jamani unasema hivyo kama mama angu 😘😘 hadi nimemmiss ghaflaHebu hukoo
😀😀 sawaCha jirani
Jr![]()
HahahahahaJamani unasema hivyo kama mama anguhadi nimemmiss ghafla