Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Its alright dude...
Kwahio mlitaka tuweke sura zetu? Uzi hauna negative vibes mmesahau kusema nyinyi sasa mnaleta negative vibes. Watu wanapost vitu wapendavyo nyinyi mnasema show!

Btw lile dongo la tunaopost visahani vya 360 limenifikia wacha tujimwambafai.

Jr
 
Mimi nauelewa huu uzi vizuri sana.

Phase zote hazinipi favor, maana sura ya kutuma sina, wala vitu vya ku-show off sina.

Ila nafurahi na napata changamoto ya kujibidiisha ili nipate cha angalau kujipa nacho matumaini.

To me it is inspirational thread.

Napenda pia kwamba ni thread isiyo na negative vibe, watu wako positive na wana appreciate kila kinachopostiwa humu.

Jr
 
Kwahio mlitaka tuweke sura zetu? Uzi hauna negative vibes mmesahau kusema nyinyi sasa mnaleta negative vibes. Watu wanapost vitu wapendavyo nyinyi mnasema show!

Btw lile dongo la tunaopost visahani vya 360 limenifikia wacha tujimwambafai.
Usitunyooshe sana jamani, wengine tunasafisha macho tuu jamani!!

Hizo 360 sahani zipoje eti dear...

Nataka nikiwa mkubwa niwe kama wewe apo!
 
Yeah si lazima sura.. Muktanda wa mada unaruhusu.. Hata jicho au mwanya kama unao sawa tumimi naanza
Kaka yangu mimi jamani!!
1581495819661.jpeg


Jr
 
Back
Top Bottom