Selfika na JF: Snap it. Show it

Pambana mzee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hapana jamani kuna super black na black shine hiyo ni black shine ukipaka unakaa muda mchache halafu wanakuosha nywele zinabaki nyeusi ila ngozi inarudi kama kawaida,, super black zimepitwa na wakati..
Black shine ngozi inakuwa nyeupe hivyo dadake navyofahamu ukipaka ile ngozi inakuwa nyeusi pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dadake hebu sogeza kidogo picha vibaya hivyo yaani tuone sikio moja kweli 😍
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…