Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Niulize tuu jamani dear
Niulize tuu jamani dear
Hapana nkamu. Anashughulika na nini?Heaven Sent kama uko instagram unampata mtu anajiita African Forester ??
Sent using Jamii Forums mobile app
Niulize tuu jamani dear
Lol kama nilijua tu kuwa sababu ya wao kukichukia kiswahili ni hiyo vita ya Tz na Ug
By the way shilingi yao iko chini kuliko shilingi yetu na nina rafiki yangu aliwahi soma huko aliniambia huku maisha ni ghali kuliko huko yaani kwamba huko maisha ni mepesi kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana nkamu. Anashughulika na nini?
Afu kwa ile comment nilihisi tu mtu unayemuongelea ni mnyakyusa ila ndo nikawa sijui ana issue gani. Ntamtafuta nimcheck maana sipati picha na ile lafudhi yetuHuyo kaka ni mnyakyusa huwa anapost video za wanyama wakifanya matendo halafu yeye anaingizia sauti yake anakuwa anaongea kwa niaba ya hao wanyama huwa anachanganya kinyakyusa na kiswahili sasa anavyoiongea ile lafudhi ya kinyakyusa utacheka ufe,, ndiyo ameanza kuibuka siku hizi na naona watu wanamkubali yaani wanamfollow kwa wingi..
Sent using Jamii Forums mobile app
Soma tena mkuu, sababu ya kukichukia kiswahili sio vita, bali matendo ya kiuovu ya wanajeshi wenu kwa raia. Na since wanajeshi walikuwa wanatumia kiswahili, wakaunganisha lugha hiyo na uharamia.
Kwa kigezo chako cha shilingi, unadhani wakenya wana haki ya kusema ulichokisema kuhusu Tanzania?
Afu kwa ile comment nilihisi tu mtu unayemuongelea ni mnyakyusa ila ndo nikawa sijui ana issue gani. Ntamtafuta nimcheck maana sipati picha na ile lafudhi yetu
Nyie si mnamuangalia sjui Zari ndo mnaona waganda wote wanaringa,mm nimekaa nao miaka 5 nawajua vizuri wala hawaringi,wanawapenda Watz Ila usilobe ukakngia mikononi mwa polisi wa kule.Duuh basi sie huku bongo wengi tunajua waganda wanajishaua na hawataki kusikia kitu inaitwa kiswahili wachilia mbali kujifunza tu,, japo rais wao Museveni huwa anakiongea na anasema anakijua vizuri tu..
Hata hivyo tu kuliko kuishi kwenye nchi ambayo Tanzania tumeizidi kiuchumi basi ni heri nibaki hapa hapa tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah kaka nimekuelewa sababu kuu siyo vita lakini chanzo ni vita,, maana isingekuwa vita hao wanajeshi wasingefanya hayo mambo..
Ofcourse wakenya wana haki ya kusema hayo kwetu maana ni ukweli,, kwani hata wewe hauoni namna wanavyojishaua sababu hiyo..
Sent using Jamii Forums mobile app
Maisha kweli kule ni rahisi kidogo kuliko bongo,kule vyakula bei poa,usafiri hamna kujazana kwenye daladala Kama bongo yani kule mnakaa level seat,na pia gari sjui kwa nn wanauza bei rahisi namna hiyo coz unaweza pata gari ya million 3 za Ug gari Kali ambayo huku Tz bila m 10 hupati.Lol kama nilijua tu kuwa sababu ya wao kukichukia kiswahili ni hiyo vita ya Tz na Ug
By the way shilingi yao iko chini kuliko shilingi yetu na nina rafiki yangu aliwahi soma huko aliniambia huku maisha ni ghali kuliko huko yaani kwamba huko maisha ni mepesi kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi huko tena jamani kipenzi
Ole wako uje Bila pichanyoo wewe si unajifanya mchochezi zikifutwa nikiomba zirudishwe unakandia wasirudishe sasa subiri hapo hapo
Sent using Jamii Forums mobile app

Nyie si mnamuangalia sjui Zari ndo mnaona waganda wote wanaringa,mm nimekaa nao miaka 5 nawajua vizuri wala hawaringi,wanawapenda Watz Ila usilobe ukakngia mikononi mwa polisi wa kule.
Maisha kweli kule ni rahisi kidogo kuliko bongo,kule vyakula bei poa,usafiri hamna kujazana kwenye daladala Kama bongo yani kule mnakaa level seat,na pia gari sjui kwa nn wanauza bei rahisi namna hiyo coz unaweza pata gari ya million 3 za Ug gari Kali ambayo huku Tz bila m 10 hupati.