Dah.,.. Basi nina bahati mbaya niletee basi kule kwa pm na mimi niwe mwenye bahatiKuichwa cha nini eti jamani, nilishakiweka mara nyingi saaana jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah.,.. Basi nina bahati mbaya niletee basi kule kwa pm na mimi niwe mwenye bahatiKuichwa cha nini eti jamani, nilishakiweka mara nyingi saaana jamani
Wewe umenitenga siku hizi
Bahati utaikuta hapa hapaDah.,.. Basi nina bahati mbaya niletee basi kule kwa pm na mimi niwe mwenye bahati
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitaacha siku nayoshuka kwenye ile nyumba ya milelePampula si ulisema umeacha wewe![]()
Usiwe unacheza mbali



nyoo wewe si unajifanya mchochezi zikifutwa nikiomba zirudishwe unakandia wasirudishe sasa subiri hapo hapo
Acha uzembe.
Mwisho wa mwezi Leo nataka ripoti kule.
Sasa ole wako uje mikono mitupu
Sent using Jamii Forums mobile app
Askari wa huko Wana roho mbaya kinoma.Pole mkuu. Hawa jamaa ukikata mkwanja mambo yanasogea.
I highly doubt it. Don't have the stats, but there's Mbale and Mbarara. Only thing for sure is Ebbs is the coolest.
Kwa nn labda!!?mbona pako poa tu maisha ni Kama bongo tu
Askari wa huko Wana roho mbaya kinoma.
Kwa nn labda!!?mbona pako poa tu maisha ni Kama bongo tu
Asee!wakishajua ww ni Mtz ukiingia mikononi mwao utajuta,walinyang'anya cm ,pesa nikawa Sina namna ya kuwasiliana na mtu yeyote aje anidhaminiHaha walikufanyaje, mkuu?
Asee!wakishajua ww ni Mtz ukiingia mikononi mwao utajuta,walinyang'anya cm ,pesa nikawa Sina namna ya kuwasiliana na mtu yeyote aje anidhamini
Abee mdogo wangu mzuri mzuri jamani, nini ninacho eti cha kukunyima mpenzi wangu
Kiuchumi kweli wako chini kidogo but hatujatofautiana saana,kuhusu ubaguzi hapana sio wabaguz Ila polisi ndo wabaguzi Ila raia wanatukubali sana wabongo na wanapenda kujifunza kiswahili.Nope to my knowledge Uganda wako chini yetu kiuchumi na kimaisha pia,, halafu nasikia ni wabaguzi na hawapendi kiswahili..
Honestly I can't live in such a country
Sent using Jamii Forums mobile app