Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Habarini ya muda wakuu
20191209_204742.jpg


Sent from my SM-A105F using Tapatalk
 
Nope to my knowledge Uganda wako chini yetu kiuchumi na kimaisha pia,, halafu nasikia ni wabaguzi na hawapendi kiswahili..

Honestly I can't live in such a country

Sent using Jamii Forums mobile app

Lol una uhakika mmewazidi kiuchumi na kimaisha? Do your homework ushangae.

Kwenye issue ya kiswahili, kwanza ni kati ya lugha rasmi za hii nchi. Wachache wanaokichukia ni kwa sababu kinawakumbusha ufirauni waliofanya wanajeshi wa Tanzania kipindi cha vita yenu na Amin. Kwa wachache, kiswahili ni kumbukumbu ya wizi, ubakaji, na uonevu kwa raia, uliofanywa na wanajeshi wa Tanzania.
 
Duuh basi sie huku bongo wengi tunajua waganda wanajishaua na hawataki kusikia kitu inaitwa kiswahili wachilia mbali kujifunza tu,, japo rais wao Museveni huwa anakiongea na anasema anakijua vizuri tu..

Hata hivyo tu kuliko kuishi kwenye nchi ambayo Tanzania tumeizidi kiuchumi basi ni heri nibaki hapa hapa tu
Kiuchumi kweli wako chini kidogo but hatujatofautiana saana,kuhusu ubaguzi hapana sio wabaguz Ila polisi ndo wabaguzi Ila raia wanatukubali sana wabongo na wanapenda kujifunza kiswahili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lol kama nilijua tu kuwa sababu ya wao kukichukia kiswahili ni hiyo vita ya Tz na Ug

By the way shilingi yao iko chini kuliko shilingi yetu na nina rafiki yangu aliwahi soma huko aliniambia huku maisha ni ghali kuliko huko yaani kwamba huko maisha ni mepesi kidogo
Lol una uhakika mmewazidi kiuchumi na kimaisha? Do your homework ushangae.

Kwenye issue ya kiswahili, kwanza ni kati ya lugha rasmi za hii nchi. Wachache wanaokichukia ni kwa sababu kinawakumbusha ufirauni waliofanya wanajeshi wa Tanzania kipindi cha vita yenu na Amin. Kwa wachache, kiswahili ni kumbukumbu ya wizi, ubakaji, na uonevu kwa raia, uliofanywa na wanajeshi wa Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom