Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,487
Mighty flier! That's @cadey
Jr![]()
Jana kwenye uzi wa likes
Kwa hiyo mkuu wewe unazurura msituni kutafuta panzi wanaopandana?
Hata mabilionea nao wana stress sometimes. Tusameheane na kuchukulianaNini shida hadi leo kutukana hivi sijawahi kukuona unatoa maneno makali kiasi hichi Jamaniii![]()






Jana kwenye uzi wa likes
Pole n potezea, binadamu tunatofautianaHuyu ndugu ana shida mahali itakua..Msongo.
Mimi hakuna sehemu niliyomkwaza kabisa. Nilikua namwambia tu kua Jesus was a smartest person.
Ndio kaanza kutoa matusi.
Inashangaza sana aisee
Sasa hivi tatizo limezidi.Jamani jamani mbona sikuona mimi,, nifanyie tena mpango nakuomba..
Tatizo tunaotumia app tunapata tabu sana kwenye notifications,, sijui shida nini..
Sent using Jamii Forums mobile app
Notification ni gonjwa lisilotibika jfJamani jamani mbona sikuona mimi,, nifanyie tena mpango nakuomba..
Tatizo tunaotumia app tunapata tabu sana kwenye notifications,, sijui shida nini..
Sent using Jamii Forums mobile app

Umeona nilichokwambia kule??Sasa hivi tatizo limezidi.
Nimetutag Kwenye nyuzi kibao ila sidhani Kama umeona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mabilionea nao wana stress sometimes. Tusameheane na kuchukuliana![]()
Hasira zake kaamua azilete humu 🤒🤒Huyu ndugu ana shida mahali itakua..Msongo.
Mimi hakuna sehemu niliyomkwaza kabisa. Nilikua namwambia tu kua Jesus was a smartest person.
Ndio kaanza kutoa matusi.
Inashangaza sana aisee