carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,569
- 285,617
Hivi kati ya watu walioshikilia bango na mimi unaweza ukaniweka kweli jamani,, hapo umenionea kwa kweli.. numbisa na carbamazepine ndiyo walishikilia bango
Sent using Jamii Forums mobile app
Sura ipo kwenye picha ya pili kwenye reflection ya piano amesmile
Mimi nimefanya nini tena??
mwenzenu leo ananung'unika JF kwenye majukwaa yote kuwa mmemtaja jina lake,, sasa bahati mbaya ananilalamikia mimi mtu ambaye si sahihi badala ya kuwalalamikia ninyi..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa yeye alitakiwa aje alalamike kule,anaendaje kulalamika majukwaa mengine?
Saint anne mama hebu njoo kwanza
mwenzenu leo ananung'unika JF kwenye majukwaa yote kuwa mmemtaja jina lake,, sasa bahati mbaya ananilalamikia mimi mtu ambaye si sahihi badala ya kuwalalamikia ninyi..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa yeye alitakiwa aje alalamike kule,anaendaje kulalamika majukwaa mengine?
Saint anne mama hebu njoo kwanza
Dah
Napanda milimaKwani bahari lazima uiogelee jamani,, si mandhari tu kwani hata huko milimani unakuwa unaenda kufanya nini..
Sent using Jamii Forums mobile app
I can't wait .Nitakuja kwenye page(uzi) wako nikupe mrejesho Paula.
Karma si unaona nimeandika sio MIMIKweli wengine hatuna nyota yaani tukiomba picha zilizofutwa hatutumiwi ila wengine wakiomba fasta tu daah
Sent using Jamii Forums mobile app
Ooops, My Bad, sikujua hata kama ni wewe. Nakumbuka kumwambia mtu pole ila sikumbuki ni Username gani.Niliomba mimi jana ipostiwe upya nikaishia kuambiwa tu "pole" ila nimeona kuna mtu kaomba leo imepostiwa upya,, tatizo nyota..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni muhimu kujikinga na hatari Tojo.Thanks a lots ,utaona tu nlichovaa juu Ila naogopa wasojulikanamaana hawachelewi kuniteka.
Watu walikuwa wanabisha kwamba ni yangu, walifikiri nimedownload kwenye internet, na nilijua watabisha. Nikawaambia angalieni vizuri mtaona kuna sahihi nimeweka "KIRANGA".Aisee
Kuna picha fulani niliwahi ona sehemu umeweka.
We jamaa aisee hizo kufuru Sasa..
Tupia nyingine tuone
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwache apambane na Hali yakeKarma si unaona nimeandika sio MIMI?
Nisamehe Baby girl, nitaweka nyingine.
We jamaa hatari,dah hufaiWatu walikuwa wanabisha kwamba ni yangu, walifikiri nimedownload kwenye internet, na nilijua watabisha. Nikawaambia angalieni vizuri mtaona kuna sahihi nimeweka "KIRANGA".
Hugo Boss..View attachment 1334336
Sent using Jamii Forums mobile app
Sipendi kutazama sana wala kuongelea bei.
Wala usiwe na wasiwasi.Ooops, My Bad, sikujua hata kama ni wewe. Nakumbuka kumwambia mtu pole ila sikumbuki ni Username gani.
Mea Culpa Miss.
Sawa sawa boss.Sipendi kutazama sana wala kuongelea bei.
That is so middle class.
Mi aristocrat, huwa nachagua naweka kwenye cart tu.
"Oooh, oooh, ooooh,
Theow it in the baag"
Fabulous "Throw It In The Bag"
Jivin'
Sent using Jamii Forums mobile app