Too old,too busyWhy's that?

Hahahaha, naona kinachezwa hapa,Vinamaliza pesa hivyo vidude wee acha tu... Vimefilisi bodaboda wengi sana
Jr![]()

, kamwe hushindi yani utaishia kutapeliwa. Michezo yote ya kubahatisha na kamari za aina zote haina tofauti na karata 3, Uzuri wao hawa ni kwamba wao wanalipa kwa baadhi ya washindi.. Na kinacholipwa hakitoki mifukoni mwao bali kwa wachezaji wengine...Hahahaha, naona kinachezwa hapa,
Mie nagonga ugimbi hilo si chezi hata kwa dawa
MTC | 101|![]()

, kamwe hushindi yani utaishia kutapeliwa. Michezo yote ya kubahatisha na kamari za aina zote haina tofauti na karata 3, Uzuri wao hawa ni kwamba wao wanalipa kwa baadhi ya washindi.. Na kinacholipwa hakitoki mifukoni mwao bali kwa wachezaji wengine...


Hahahaha, asee

Kwa nini?
Sasa nisipoweka unataka niweke, nikiweka nimekudanganya.
Usinifanyie bossSasa nisipoweka unataka niweke, nikiweka nimekudanganya.
Nanawa mikono.
