Nimewahi kuweka huku na sikuziba sura.
Basi nilipitwaNimewahi kuweka huku na sikuziba sura.
Ngoja nipige nyingine niweke.

Twin nitamwambia akikubali nitaweka.
Lakini ushawahi ipost hapa.

Mimi sijamzidi Karma






Nyuma sidumbukii.Kiranga Mkuu angalia usidumbukie huko nyuma, You Look smart. Kudos. Na yale mambo unaweka, unamatch 100%.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hii picha ilibidi iwe na quality ya miaka ya 90 -2000 Mr. Ila kwa haya mandhari inaonekana ni ya 2015-2020.
Ambapo kwa namna uliingia Webster Hall 2007, na heshima uliyopewa, na kummaliza James H Chase miaka ya 80-90 huu hauwezi kuwa umri wako![]()



haki mods wamedata
Mimi sijamzidi Karma
Karma Ni kinara wa huu uzi Hadi mods wakamzawadia sehemu ya Uzi huu Kama zawadi..
Ana thread yake Sasa,sehemu ya hii
Sent using Jamii Forums mobile app