Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Chief sio kitambi hicho, 619 pack hiyoMtu anaeumwa anakuwa na kitambi?















Amin/Amen
Nimerudi kusoma kule juu.
I wish huu uzi wa zamani ujurudie aisee
Hivi Mshana Jr dawa zako ziliishia wapi?
Uzi umepoteza ile Kasi ya mwanzo tuliyokuwa tunatumbua macho humu muda wote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Petro akamwambia yesu,kwakua umesema "nitashusha nyavu"


wakati si milele.. Ila kuteleza si kuanguka.. Hii ni January.. Changamoto kama zote.. Bundle mtihani... Nida kizungumkuti.. Subiri vumbi litulie (sio la Kongo Lakini)
Nimerudi kusoma kule juu.
I wish huu uzi wa zamani ujurudie aisee
Hivi Mshana Jr dawa zako ziliishia wapi?
Uzi umepoteza ile Kasi ya mwanzo tuliyokuwa tunatumbua macho humu muda wote.
Sent using Jamii Forums mobile app

Mia mbili ina shepu nayo!Bahati nzuri sijaacha shilingi yangu yoyote Kwenye line zangu.
Kama ipo Basi haivuki Mia mbili
Sent using Jamii Forums mobile app
So hatatimiza aliyoyasema!!!?Huyo maneno mingiiii
Ndioo!!fanya utimize uliyoyaahidi kwa dadako Sakayo please.
Huu Uzi Zamani ulikuwa Moto sanaHata mie kuna muda huwa narudi kusoma vya nyuma daah,, If I could I would turn back the time..
Sent using Jamii Forums mobile app
Petro akamwambia yesu,kwakua umesema "nitashusha nyavu"
controla nae anasema,kwakua Saint anne umesema basi Atapunguza.
Ila nitajitahidi kusajili ili Mia mbili yangu isipoteeMia mbili ina shepu nayo!