Hahahaha wanaume hapo ndipo mnaponiacha hoi sasa hapo mambo ya usawa yanaingiaje,, mimi kama mwanamke katika uzoefu wangu wa kuendesha magari nimejikuta napenda zaidi manual kuliko auto sasa hayo ya usawa yanaingiaje hapo hebu nielezee vizuri..
Sent using
Jamii Forums mobile app