Selfika na JF: Snap it. Show it

Kumbe waaribifu wa simu tuko wengi (root)
 
Shemeji sie wa huku Olidonyolengai porini porini tuliozoea kula mbuzi mzima tutashiba kweli ?

Au ndio tutakula na mpishi mwenyewe?
Utamlaje mpishi halafu kesho atapika nani?

Hapo lazima ushibe, kuna vitu vimewekwa ndani vinashibisha haswa
.
Ila jamani unakulaje mbuzi mzima mwenyewe na wakati mbuzi mmoja wana kula watu 20+?
 
Utamlaje mpishi halafu kesho atapika nani?

Hapo lazima ushibe, kuna vitu vimewekwa ndani vinashibisha haswa
.
Ila jamani unakulaje mbuzi mzima mwenyewe na wakati mbuzi mmoja wana kula watu 20+?
Yaani kwamba hizo nyama mbili na huto tudude twingine pekee ndiyo lunch !??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…